Wednesday, June 25, 2014

TheChoice: JUSTIN BIEBER APATA AJALI


JUSTIN BIEBER APATA AJALI




Justin Bieber amepata ajali ya gari jana mchana huko Beverly Hills wakati akiwakwepa mapaparazi waliokuwa wakimfuata





Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, msanii huyo alikuwa amekaa kwenye kiti cha abiria kwenye gari aina ya Escalade wakati ajali hiyo inatokea na haraka alihamishiwa kwenye gari nyingine.Hata hivyo, Hakuna aliyeumia kwenye ajali hiyo.


Picha Za Ajali Hiyo






Facebook Blogger Plugin by JustNaira.com | Get Widget





ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK


Source:


http://ift.tt/1pNJxMH






The Late News fromhttp://ift.tt/1a8FjrK